Duration 1:9:58

MWANAMKE MWENYE HEKIMA KATIKA UJENZI WA NYUMBA YAKE - SEHEMU YA TATU

84 334 watched
0
403
Published 26 Nov 2016

Semina ya Wanawake Iliyofanyika Mjini Makambako, Semina hii ni moja ya semina mbalimbali zinazoandaliwa na huduma ya Uwezo wa Mwanamke Huduma ya UWEZO WA MWANAMKE ikiongozwa na Mbeba maono Mwalimu Betty Zanny inapatikana Tabata Segerea, Dar es salaam. Huduma hii inasimamia neno kutoka kitabu cha Tito 2:3-5 Ikiwa na Lengo na Kauli mbiu ya "KUMTIA MWANAMKE AKILI, ILI NENO LA KRISTO LISITUKANWE" Kwenye channel hii utapata mafundisho ya Neno la Mungu yatakayo kujenga wewe kama mwanamke kwenye ndoa yako, au binti kwenye nafasi uliyonayo. Mafundisho haya yanarekodiwa kutoka sehemu mbali mbali ambapo huduma hii ya Uwezo wa Mwanamke inafanya semina katika mikoa mbali mbali nchini Tanzania. MAWASILIANO; Tuma ujumbe wa kawaida au tuandikie message kupitia whatsapp endapo una ushuhuda au maombi kutokana na masomo tunayoendelea kufundisha kupitia channel hii. Namba ya simu ni +255 769 556 663 #uwezowamwanamke #uwezo wa mwanamke #NenolaMungu #nguvuyamwanamke

Category

Show more

Comments - 85