Mnamo Septemba 11 mwaka 2001 Marekani ilishambuliwa.
Mtandao wenye msimamo mkali wa Kiislamu, al-Qaeda, uliteka nyara ndege nne na kuzitumia kama makombora dhidi ya maeneo maalumu ya Marekani.
Karibu watu 3,000 waliuawa. Marekani ilijibu janga hilo kupitia oparesheni iliyoitwa ‘vita dhidi ya ugaidi’ – iliyojumuisha uvamizi wa nchi mbili na kusabisha vifo zaidi.
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa asubuhi hiyo iliyobadilisha Marekani na ulimwengu.
#bbcswahili #marekani #ugaidi