Duration 37:5

CHEMICAL mwanafunzi BORA Masters UDSM, kwenda kusoma PhD Scotland CHUO alichosoma PRINCE WILLIAM

20 592 watched
0
316
Published 2 Jun 2021

Rapper Chemical ambaye jina lake halisi ni Claudia Lubao, amehitimu shahada ya uzamili katika chuo kikuu cha Dar es Salaam na kuwa mwanafunzi mwenye tafiti bora (first winner) kwa chuo kizima kwa mwaka 2021/22. Kwa upande mwingine, ameachia EP yake iitwayo Chemi Light unayoweza kuisikiliza kwa kufuata link hiyo chini https://www.boomplay.com/share/album/26136405

Category

Show more

Comments - 111