Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), amewataka Watanzania kujenga utamaduni wa kulipa kodi kwa hiari ili fedha zinazopatikana ziweze kutumika kuwaletea maendeleo katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for DKT MPANGO AHIMIZA WATANZANIA KULIPA KODI: