@FestoEliasMhh11 months agoWatu wengi wanataka ila hawana imani na hichi kitu; mm nimeelewa kwa licha ya kutamka, inahitajia kuamin kwamba itakuwa. 3
@
@japhetochuro38712 years agoNa mim nahitaji nifanye je kuna njia zingine. 3
@
@JonathanKebaso-yk8le4 months agoSii hututafutie zire zakutoa kafara ya mbuzii au kondo juu hii uta ezafanya kesho upate ajali?
@
@user-nt4ov4gl2o3 months agoMe naitaji kua najin je nifaenye yapi ili nimpate.
@
@dieumerciundimundi43835 months agoJambo kaka naitaji number yako ya whats up na code number asante taphazali nakusihi naitaji kujifunza mengine. 1
@
@user-fw4ci3zn5v5 months agoJamani kama kuna watanzania wamefanikisha kwa maswala haya basi tuelezeni nasi ambao tunatafuta kujikuamua na maisha magumu haya, tuweze saidia wenye uwezo mdogo. 3
@
@jabirkassim62492 years agoKaka ntajuaje kama ameshafika? Ili kueleza shida yangu. 1
@
@user-ht8po7un8p3 months agoSomo zuli ila maelezo mengingi mafunzo ayaishi auja tuekeza sasa ujiansae vp kita tokea nn ufafanuzi aupo monyo ndio mengi punguza maneno mwalimu.
@
@ahmadally83483 years agoUseful mantra, please i would like to use some more mantras, o spiritual guider. 2
@
@shariphmahalim50458 months agoMaharim mm nashida yakuzungumza nww nkuomb.
@
@user-yy7tg3eu6w3 months agoHabari za mchana, samahani naomba kuuliza, unielemishe kuhusu jini ninayemshikia anaitwa mami wata. Ni ji gani.
@
@GasoreJuma10 months agoKaka kila aliefaanikiwa kuwapata hawa wapo kabisaa. namim inshaallah nitawaita. 1
@user-kc9lt8hs8i10 months agoAsante sana kwa darasa. Naweza kuonana na wewe? Ninashida zaidi nahitaji tuzungumze. 2
@
@user-ss9gb6sy1q10 months agoHabari ndugu naomba kuuliza ukisema maneno hayo anakuja kiumbe au inakuaje.
@
@HildaGerald-xq4dc10 months agoMm nataka utajir mkubuwa lakini izi njia zako zote azini taki. 1
@
@zachariamwiroli49607 months agoTatzo una maneno mengi huendi kwenye point unaelezea sana vitu visivyousiana ukiwa unaelezea nenda kwenye point video znakua ndefu. 1
@
@AnnaKajumi-ks4qjlast yearKaka mbona mm nimeita lakini hakijatolea kitu. 2
@
@HildaGerald-xq4dc10 months agoMwalimu mm nmesha fanya sasa namaliza wiki nsku kazaa sasa amuna matokeo yoyote ata kuwita jina lautajiri nimesha yaita sana lakini amuna matokeo yoyote nanina sikiliza vizuri amuna ninapo kosea maali lakini amuna matokeo. 1
@malongeaxiome4526last yearKaka naitaji nambayako ya watshapp ili tuwasiliyane.
@
@eliezergama707310 months agoUnaunganishaje unachotaka na hiyo mantra?
@
@salumujuma04129 months agoSorry mwl kama ninadharura ya hela afu sina chanzo chochote cha hela nikifanya nitapata hela?
@
@dullahrashid59703 years agoNa maandalizi gani yanatakiwa kabla ya kufanya au kutamka hivi. 1
@
@ishaqamohammed79222 years agoKaka kwaio ukiitaj kufanya hivyo haiitaji kutumia udi wala ubani au kufanya katika chumba kitupu haitaj hivyo vitu. 1
@
@SaidaDiriwa3 months agoHbr. Maneno yako, yanatia moyo, lakini hujibu comment za watu, wala hutoi namba yako ya cm. Kama unania kweli yakusaidia wengine jibu basi mbona tunaishia kusikiliza maelezo tu, mb zenyewe ni, zakukopa kaka?
@
@samunuratv90192 years agoHaina kafara badae naitaji maongezi na ww.
@
@MetodMakungu9 months agoKaka nabaada yakutamka hayo manene atasubili aje ndouseme hitaji lako? Au tasema tu hatakama haujamuna.
@
@benedictodaniel18423 months agoWewe nimwalim mzulisan ila maelezo unayatowa sana ila point fuifafanui vizuli, kwaulefu yani mwanzo unaongea sanaa ila pointi unaongea kidogo,
@
@ramadhanihangolwa25003 years agoMwalimu, umesema useme mara tano hayo maneno matano ila hujasema akija anataka nini! Na pia vipi unamuona! Ana masharti yoyote? Na kama humuoni atakupa kwa njia ipi! 1
@
@stanslauskitale-xb1zplast yearMungu akubaliki kaka tunapata elimu endelea kutufunza pia naweza pata namba yako ya what' s up.
@
@MedenMuthama-yb9gflast yearMfano unataka mali je utasema majina kisha useme utakacho ama utasema utakacho ndo uyataje hayo majina?
@
@abrahmankhamis47058 months agoMkuu ikiwa ucku panaulazma chumba kiwe giza au vp?
@
@ramadhanihangolwa25003 years agoNa kama humuoni kuna dalili yoyote ya kujua kwamba yupo? Au baada ya kutaja hayo maneno mara tano basi unasema tu shida yako kwake? 1
Related videos for Jinsi ya kufanikiwa kwa muda mfupi | Kupata kazi | Utajiri | Mapenzi | Pesa | Ushindi | Cheo:
wapo kabisaa.
namim inshaallah nitawaita. 1