Duration 1:31

HII NDIO REKODI YA 'KING KIBADEN' INAYOSAKWA NA WACHEZAJI WA SIMBA NA YANGA

151 watched
0
0
Published 7 May 2021

WACHEZAJI wa kabu kubwa Tanzania - Simba na Yanga zote za jijini Dar es Salaam, wana jambo ambalo hawajaweza kulifanya tangu lilipofanyika mwaka 1977. Jambo hilo ni rekodi ya hat-trick iliyofanywa na mchezaji wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni 'King Kibaden' tarehe 19 Julai 1977, dhidi ya hasimu wao Yanga. 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402), 🔘WhatsApp ( +255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com

Category

Show more

Comments - 0