Vyama vya siasa 15, ikiwemo CHADEMA na CHAUMA, vimekutana na kutoa tamko la pamoja kuhusu muswada wa sheria uliopitishwa hivi karibuni kuhusu Mabadiliko ya Vyama vya Siasa uliowasilishwana serikali bungeni, wakatiwa Mkutano wa 13 wa Bunge la 11 jijini Ddodoma.