DKT TULIA AMTAMBULISHA MUME WAKE, AKICHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE “TUMEWAACHA WATOTO NYUMBANI”
Naibu Spika wa Bunge Tulia Ackson Leo Julai 14, 2020 naye amefika katika ofisi za CCM jimbo la Mbeya Mjini kwaajili yakuomba ridhaa ya chama hicho ili Kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge wa Jimbo Hilo....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
@madolaclassic1172 years agoJaman naomba sana spika awe mwanaume.... Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu..... Najua wenye upeo wamenielewa...🙏 4
@
@msetikebwasi68954 years agoAnatabasamu tu,vipi wakati wa kutoa dozi sasa,,,,,anaifurahiaaaa mpaka anasahau majukumu yke kwa muda flani si ndiyo hivo jamani.Gonga like twende na utamu ule ile. 9
@
@radhiasalum71562 years agoNdo kwanza namuona mumewe.kumbe anawatoto hongera sana 4
@
@amenyemwansile6314 years agoSafi shemeji yetu Kwa speech yako nzuri 3
@
@jamesmahatane27234 years agoWanadam mnaongea maneno mengi mungu ana waona hongera tulia na James mungu kawaona pigeni kazi 1
@
@ashrafhosseni40512 years agoumependeza sana dadangu mmewako amepata mkemzuli jitaidi Dada utapata ubunge muombe mungu 1
@
@angeluslijuja34082 years agoWanene wana wapenda wembamba ata mimi nampenda tulia kumbe umeolewa daa hongera mkuu umepa kanisa nakuomba wivu 1
@
@user-xo3bf3hm3p6 months agoPole kwa unae mwona hafai ila jua anaitano tena sugu akalale kwao
@
@issackchalahani12354 years agoTulia Dada angu unajisumbua! Huwezi shinda uchaguzi kwa sanduku LA kura Mbeya Mjini tena mbele ya Ndg. Joseph Mbilinyi a.k.a "Sugu." Wala sikudanganyi unajua japo unapewa moyo na wateule wa rais na dola. Siku hiyo patachimbika Mbeya na nadhani ingependeza ubaki kuwa viti malumu na naibu spika wa kuteuliwa na sio kuwa mbunge wa kuchaguliwa. ...4
@
@calvinkitaly93764 years agoTulia bungeni ulikuwa huelewekieleweki. 4
@
@elizabethkalinga08222 years agoBaba Mungu akubariki Sana Kwa Utumishi Uliotukuka uliopo ndani yako.
@
@halifajuma5452 years agoHaya mambo ya (ammmu )kama wazungu sisi wafrica wazungu wame tupa nini Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi 1
@timboxlee9196 months agoRoho mbaya Sana na sura mbaya huyu DP world
@
@solomonmpuluma2824 years agoMmm, tumwachie Mungu tu. Mimi nawapenda wote Tulia + Sugu. Ila kumbe mume naye ana upeo. Hlf anasema ni mtaalam wake 😂😂 ! Lakini inapendeza hivyo. 2
@
@braysonchalamila11994 years agoBro nimemkubali. Atafute jimbo tu naye atie nia.
@
@edithajoseph76752 years agoMimi naomba spika achaguliwe mwanaume naomba sana wabunge msifanye makosa kwani mkifanya makosa itaendelea kutugarim. Mungu ilinde Tanzania 1
@
@rehemamasoud36874 years agoUnafaa saana mama kwanza uyumbishwi na mtu 1
@
@ramadhanijuma42044 years agoMumewe ameruhusu, "Yupo tayari kutumika" 3
@
@frankremishoy57782 years agoMshamba tu hawa ndyo wale waminyaji wa democracy.
@
@nyekingobwire63273 years agoHaya sasa sugu kapata nimi.turiya oyeee oyeeeee
@
@johndaud16634 years agoSugu haumtoi ng'ooooo 2015 alishinda kwa kura laki na elfu 10, kwa elfu 40 2
@
@benedictmrisho59472 years agoKila mwanamme atakayebofoa weka mwanamke hadi mfumo dume ufe
@
@matundukafwila57544 years agoYangu macho kuangalia vyuma vinavo suguana
@
@pantaleokulaya21124 years agoTufahamishwe huyo mme wake tulia anafanya kazi gani ? 1
@
@zulfaissa78142 years agoIlapesa zinanga'arisha watu wallah inaonyesha mgekua hamnapesa kamamie ingekua kilammoja anamshinda mwenzake
@
@hebronmalatila61864 years agoTulia ! Umenogewa na Mishikaki China! Unamwalika Mr. wako aache Ajira yake ili mwongeze kipato kwa kwenda kubweka ktk mjengo wa Watanzania ? Ubungo siyo shamba la bibi.
@
@kadamlwenje76294 years agoIli mwanamke awe mrembo awe na vigezo gani?🙄
@
@joycemagessa3504 years agoHafai hata kuongoza kijiji msifanye kosa .hana sida za uongozi Mkoloni asimamii haki .hafai kabisaaaaa
@
@pettermasika91204 years agoSUNGU ACHIYA NJIA TULIA AANZA KUTAMBA, KATI YA WANAWAKE MAKINI WANAO ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU ...
@
@kakorejrboyz64474 years agoIla watu wengine ubunge munakuja Kijiji I kuishi mjini VP
@
@emanuelmwanga44 years agoDada yuko poa ila jamaa kama. Vile anakula ganja 4
@
@madolaclassic1172 years agoJaman naomba sana spika awe mwanaume.... Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu..... Najua wenye upeo wamenielewa...🙏 4
@
@msetikebwasi68954 years agoAnatabasamu tu,vipi wakati wa kutoa dozi sasa,,,,,anaifurahiaaaa mpaka anasahau majukumu yke kwa muda flani si ndiyo hivo jamani.Gonga like twende na utamu ule ile. 9
@
@radhiasalum71562 years agoNdo kwanza namuona mumewe.kumbe anawatoto hongera sana 4
@
@amenyemwansile6314 years agoSafi shemeji yetu Kwa speech yako nzuri 3
@
@jamesmahatane27234 years agoWanadam mnaongea maneno mengi mungu ana waona hongera tulia na James mungu kawaona pigeni kazi 1
@
@ashrafhosseni40512 years agoumependeza sana dadangu mmewako amepata mkemzuli jitaidi Dada utapata ubunge muombe mungu 1
@
@angeluslijuja34082 years agoWanene wana wapenda wembamba ata mimi nampenda tulia kumbe umeolewa daa hongera mkuu umepa kanisa nakuomba wivu 1
@
@user-xo3bf3hm3p6 months agoPole kwa unae mwona hafai ila jua anaitano tena sugu akalale kwao
@
@issackchalahani12354 years agoTulia Dada angu unajisumbua! Huwezi shinda uchaguzi kwa sanduku LA kura Mbeya Mjini tena mbele ya Ndg. Joseph Mbilinyi a.k.a "Sugu." Wala sikudanganyi unajua japo unapewa moyo na wateule wa rais na dola. Siku hiyo patachimbika Mbeya na nadhani ingependeza ubaki kuwa viti malumu na naibu spika wa kuteuliwa na sio kuwa mbunge wa kuchaguliwa. ...4
@
@calvinkitaly93764 years agoTulia bungeni ulikuwa huelewekieleweki. 4
@
@elizabethkalinga08222 years agoBaba Mungu akubariki Sana Kwa Utumishi Uliotukuka uliopo ndani yako.
@
@halifajuma5452 years agoHaya mambo ya (ammmu )kama wazungu sisi wafrica wazungu wame tupa nini Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi 1
@timboxlee9196 months agoRoho mbaya Sana na sura mbaya huyu DP world
@
@solomonmpuluma2824 years agoMmm, tumwachie Mungu tu. Mimi nawapenda wote Tulia + Sugu. Ila kumbe mume naye ana upeo. Hlf anasema ni mtaalam wake 😂😂 ! Lakini inapendeza hivyo. 2
@
@braysonchalamila11994 years agoBro nimemkubali. Atafute jimbo tu naye atie nia.
@
@edithajoseph76752 years agoMimi naomba spika achaguliwe mwanaume naomba sana wabunge msifanye makosa kwani mkifanya makosa itaendelea kutugarim. Mungu ilinde Tanzania 1
@
@rehemamasoud36874 years agoUnafaa saana mama kwanza uyumbishwi na mtu 1
@
@ramadhanijuma42044 years agoMumewe ameruhusu, "Yupo tayari kutumika" 3
@
@frankremishoy57782 years agoMshamba tu hawa ndyo wale waminyaji wa democracy.
@
@nyekingobwire63273 years agoHaya sasa sugu kapata nimi.turiya oyeee oyeeeee
@
@johndaud16634 years agoSugu haumtoi ng'ooooo 2015 alishinda kwa kura laki na elfu 10, kwa elfu 40 2
@
@benedictmrisho59472 years agoKila mwanamme atakayebofoa weka mwanamke hadi mfumo dume ufe
@
@matundukafwila57544 years agoYangu macho kuangalia vyuma vinavo suguana
@
@pantaleokulaya21124 years agoTufahamishwe huyo mme wake tulia anafanya kazi gani ? 1
@
@zulfaissa78142 years agoIlapesa zinanga'arisha watu wallah inaonyesha mgekua hamnapesa kamamie ingekua kilammoja anamshinda mwenzake
@
@hebronmalatila61864 years agoTulia ! Umenogewa na Mishikaki China! Unamwalika Mr. wako aache Ajira yake ili mwongeze kipato kwa kwenda kubweka ktk mjengo wa Watanzania ? Ubungo siyo shamba la bibi.
@
@kadamlwenje76294 years agoIli mwanamke awe mrembo awe na vigezo gani?🙄
@
@joycemagessa3504 years agoHafai hata kuongoza kijiji msifanye kosa .hana sida za uongozi Mkoloni asimamii haki .hafai kabisaaaaa
@
@pettermasika91204 years agoSUNGU ACHIYA NJIA TULIA AANZA KUTAMBA, KATI YA WANAWAKE MAKINI WANAO ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU ...
@
@kakorejrboyz64474 years agoIla watu wengine ubunge munakuja Kijiji I kuishi mjini VP
@
@emanuelmwanga44 years agoDada yuko poa ila jamaa kama. Vile anakula ganja 4
Related videos for DKT TULIA AMTAMBULISHA MUME WAKE, AKICHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE “TUMEWAACHA WATOTO NYUMBANI”:
Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu.....
Najua wenye upeo wamenielewa...🙏 4
Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi 1
WANAWAKE MAKINI WANAO
ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI
MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU
HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA
TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI
MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU ...
Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu.....
Najua wenye upeo wamenielewa...🙏 4
Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi 1
WANAWAKE MAKINI WANAO
ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI
MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU
HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA
TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI
MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU ...